forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
249 B
Markdown
12 lines
249 B
Markdown
|
# Mtumishi wangu Yakobo usiogope. Usifadhaike, Israeli
|
||
|
|
||
|
Sentensi hizi mbili zina maana moja. Pamoja zinawapa nguvu watu wa Yuda kuwa wasiogope.
|
||
|
|
||
|
# Hivi ndivyo alivyosema Bwana
|
||
|
|
||
|
"Alichokisema Bwana"
|
||
|
|
||
|
# Hatawaacha bila kuwaadhibu
|
||
|
|
||
|
"atawaadhibu ninyi"
|