forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
651 B
Markdown
28 lines
651 B
Markdown
|
# Watakata misitu
|
||
|
|
||
|
Jeshi la uvamizi litakuwa kama wakata mbao likikata msitu wote. "Jeshi la Babeli litaiangamiza miji ya Misri."
|
||
|
|
||
|
# wao
|
||
|
|
||
|
Hili ni jeshi la taifa la Babeli likivamia Misri.
|
||
|
|
||
|
# Hivi ndivyo alivyosema Bwana
|
||
|
|
||
|
"Alichokisema Bwana"
|
||
|
|
||
|
# Ni nzito sana
|
||
|
|
||
|
Hii inaelezea idadi kubwa ya miji ya Misri.
|
||
|
|
||
|
# Nzige
|
||
|
|
||
|
Hii ni aina ya wadudu wanaosafiri katika kundi kubwa na kusababisha uharibifu kwa kula mazao.
|
||
|
|
||
|
# mabinti ... watapata aibu
|
||
|
|
||
|
Yeremia anasema kuwa watu wa Misri watapata aibu mbele ya mataifa hasa wanawake na mabinti watatendewa vibaya na askari wa Babeli.
|
||
|
|
||
|
# mkono wa watu toka kaskazini
|
||
|
|
||
|
"nguvu ya taifa la Babeli lililotoka Kaskazini."
|