forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
473 B
Markdown
24 lines
473 B
Markdown
|
# kwa nini mungu wenu Api amekimbia?
|
||
|
|
||
|
"mungu wenu Api amekimbia."
|
||
|
|
||
|
# Api
|
||
|
|
||
|
Huyu ni mmoja wa wakuu wamiungu ya Misri.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini mungu wenu- ndama hasimami?
|
||
|
|
||
|
"mungu wenu ambaye ni ndama hawezi kusimama."
|
||
|
|
||
|
# Bwana amemtupa chini
|
||
|
|
||
|
"Bwana amemshinda Api, mungu wenu wa ndama."
|
||
|
|
||
|
# upanga huu umetupiga chini
|
||
|
|
||
|
"upanga" unawakilisha taifa la Babeli.
|
||
|
|
||
|
# Farao mfalme wa Misri ni kelele tuu, ambeye aliacha nafasi ipite
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inasema kuwa taifa la Misri limepoteza umuhimu.
|