forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
504 B
Markdown
24 lines
504 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yeremia anaendelea kunukuu maneno ya Bwana kwa taifa la Misri.
|
||
|
|
||
|
# Siku hiyo
|
||
|
|
||
|
Hii ni siku ambayo Wamisri watashindwa vita na Babeli.
|
||
|
|
||
|
# maadui
|
||
|
|
||
|
Neno hili lina maanisha maadui wa Bwana.
|
||
|
|
||
|
# upanga utateketeza na kuridhika. utakunywa damu yao
|
||
|
|
||
|
Hapa upanga unakula kama ambavyo mtu hula. sentensi hizi zinasisitiza kuwa kutakuwa na uharibifu kabisa.
|
||
|
|
||
|
# upanga utateketeza
|
||
|
|
||
|
Neno "upanga" linawakilisha jeshi la taifa la Babeli.
|
||
|
|
||
|
# Sadaka kwa Bwana
|
||
|
|
||
|
"Misri itakuwa sadaka kwa Bwana Mungu."
|