forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
645 B
Markdown
24 lines
645 B
Markdown
|
# Pathrosi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la dini katika Misri.
|
||
|
|
||
|
# Kuhusu neno ulilotuambia kwa jina la Bwana: Hatutakusikiliza
|
||
|
|
||
|
"Hatutatii amri ambayo ulitupa kwa mamlaka ya Bwana"
|
||
|
|
||
|
# Malkia wa mbingu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo alichopewa mungu aliyeabudiwa Misri ambapo mungu huyo ni mwezi.
|
||
|
|
||
|
# Kisha tutakuwa na chakula na kufanikiwa, bila kupata maafa yoyote
|
||
|
|
||
|
"katika siku hizo tulikua na chakula cha kutosha na mafanikio na hatutapata maafa"
|
||
|
|
||
|
# Tutakuwa na chakula cha kutosha
|
||
|
|
||
|
"tutashibishwa vyema"
|
||
|
|
||
|
# Kisha tutakuwa na chakula na kufanikiwa, bila kupata maafa yoyote
|
||
|
|
||
|
Watu wa Yuda walifikiri kuwa watafanikiwa kwa sababu malkia wa mbingu atawabariki ikiwa watamuabudu.
|