forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
625 B
Markdown
24 lines
625 B
Markdown
|
# Neno la Bwana lilikuja
|
||
|
|
||
|
"Bwana anazungumza neno lake"
|
||
|
|
||
|
# Watu wote kuanzia wadogo mpaka wakubwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaonesha kuwa ni watu toka katika madaraja yote.
|
||
|
|
||
|
# Nitapeleka maombi yenu mbele yake
|
||
|
|
||
|
"Nitawasilisha maombi yenu mbele yake"
|
||
|
|
||
|
# Nitawajenga na sio kuwabomoa
|
||
|
|
||
|
Bwana anawafananisha wana wa Israeli kama ukuta unaoweza kujengwa au kubomolewa. "niwawastawisha na sio kuwaangamiza"
|
||
|
|
||
|
# Nitawapanda na sio kuwang'oa
|
||
|
|
||
|
Bwana anatumia mfano huu kuonesha kuwa atawastawisha wana wa Israeli na sio kuwaharibu"
|
||
|
|
||
|
# Nitaondoa maafa niliyoyaleta kwenu
|
||
|
|
||
|
Hapa Maafa yamezungumziwa kama kitu ambacho mtu anaweza kuweka juu ya mtu mwingine.
|