sw_tn/jer/42/04.md

20 lines
472 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Tazama
"kuwa makini kwa kile ntakachokizungumza"
# Sitabakiza chochote
"nitakwambia kilakitu ambacho Bwana ameniambia"
# Kweli na aminifu
Maneno haya yana maana inayofanana katika muktadha huu. Yanamuelezea Bwana kama shahidi ambaye hakuna atakayeweza kumuingilia. "anayeaminika"
# Ikiwa ni nzuri au mbaya
Watu wanasisitiza kuwa watatii jibu litakalotoka kwa Bwana. "jibu lolote"
# Sauti ya Bwana Mungu wetu
Bwana anaelezewa kwa namna anavyowajibu maswali yao.