forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
472 B
Markdown
20 lines
472 B
Markdown
|
# Tazama
|
||
|
|
||
|
"kuwa makini kwa kile ntakachokizungumza"
|
||
|
|
||
|
# Sitabakiza chochote
|
||
|
|
||
|
"nitakwambia kilakitu ambacho Bwana ameniambia"
|
||
|
|
||
|
# Kweli na aminifu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana inayofanana katika muktadha huu. Yanamuelezea Bwana kama shahidi ambaye hakuna atakayeweza kumuingilia. "anayeaminika"
|
||
|
|
||
|
# Ikiwa ni nzuri au mbaya
|
||
|
|
||
|
Watu wanasisitiza kuwa watatii jibu litakalotoka kwa Bwana. "jibu lolote"
|
||
|
|
||
|
# Sauti ya Bwana Mungu wetu
|
||
|
|
||
|
Bwana anaelezewa kwa namna anavyowajibu maswali yao.
|