forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
419 B
Markdown
20 lines
419 B
Markdown
|
# Bwana alikuja. na akafanya kama alivyosema
|
||
|
|
||
|
"Bwana alifanya kama alivyowaambia kuwa atafanya"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa mmeasi mbele yake na hamkusikiliza sauti yake
|
||
|
|
||
|
"Kwa kuwa ninyi Yuda mmefanya dhambi juu ya Bwana na hamkusikiliza amri yake"
|
||
|
|
||
|
# jambo hili limetokea
|
||
|
|
||
|
"uharibifu umetokea"
|
||
|
|
||
|
# Basi tazama
|
||
|
|
||
|
Nebuzaradani alisema haya ili kumfanya Yeremia awe makini kumsikiliza kwa wakati huo.
|
||
|
|
||
|
# ni njema machoni pako
|
||
|
|
||
|
"unayotaka"
|