sw_tn/jer/38/17.md

16 lines
276 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Mungu wa Israeli
"Mungu wa wana wa Israeli"
# Mji huu hautachomwa moto
"jeshi la Babeli halitachoma moto mji huu"
# mji huu utatiwa mikononi mwa Wakaldayo
"Nitaruhusu Wakaldayo wauteke mji huu"
# Hamtakimbia toka kwenye mikono yao
"hamtakimbia toka kwenye nguvu yao"