forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
374 B
Markdown
16 lines
374 B
Markdown
|
# Ebedi Meleki Mkushi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mtu kutoka Kushi.
|
||
|
|
||
|
# Sasa mfalme
|
||
|
|
||
|
Neno "sasa" linasimamisha simulizi na mwandishi anatuelezea historia ya alichokua akikifanya mfalme.
|
||
|
|
||
|
# Kukaa katika lango la Benyamini
|
||
|
|
||
|
Sedekia alikuwa akisikiliza na kuamua keshi za jinai.
|
||
|
|
||
|
# Lango la Benyamini
|
||
|
|
||
|
Hili ni lango la kuingilia Yerusalemu ambapo watu waliliita Benyamini mwana wa Yakobo.
|