forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
757 B
Markdown
32 lines
757 B
Markdown
|
# Namna nilivyofanya dhambi dhidi yako ... gerezani?
|
||
|
|
||
|
Yeremia alitumia swali kusisitiza kuwa hakufanya kosa lolote.
|
||
|
|
||
|
# watu hawa
|
||
|
|
||
|
Watu wa ufalme wa Yuda
|
||
|
|
||
|
# wameweka
|
||
|
|
||
|
"wameweka"
|
||
|
|
||
|
# wako wapi manabii wako, waliokutolea unabii... dhidi ya nchi hii
|
||
|
|
||
|
Yeremia alitumia swali ili kusisitiza kuwa manabii wengine walikuwa waongo lakini yeye hakufanya kosa lolote kwa sababu aliwaambia ukweli.
|
||
|
|
||
|
# Manabii wenu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yanaelekezwa kwa mfalme Sedekia na watu wa ufalme wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Hatakuja dhidi yako wala nchi hii
|
||
|
|
||
|
"hatakuvamia wewe wala nchi hii"
|
||
|
|
||
|
# ombi langu limekuja mbele yako
|
||
|
|
||
|
Linganisha na namna ulivyotafsiri katika sura ya 36:7 "maombi yao ya rehema yakafika mbele za Bwana"
|
||
|
|
||
|
# Nyumba ya Yonathani mwandishi.
|
||
|
|
||
|
Nyumba ya Yonathani aliyekuwa mwamndishi.
|