forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
514 B
Markdown
32 lines
514 B
Markdown
|
# Yehukali
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mtu.
|
||
|
|
||
|
# Shelemia
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mtu.
|
||
|
|
||
|
# Sefania mwana wa Maaseya the Prist
|
||
|
|
||
|
Sefania mwana wa Maaseya aliyekuwa kuhani.
|
||
|
|
||
|
# kwa niaba yetu
|
||
|
|
||
|
"kwa ajili yetu" Neno "yetu" linamuelezea mfalme Sedekia na watu wote wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Yeremia alikwenda na kutoka kati ya watu
|
||
|
|
||
|
"Yeremia aliweza kwenda kokote alipotaka na mtu yeyote"
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa hajawahi kuwekwa gerezani
|
||
|
|
||
|
"Kwa sababu hakuna mtu aliyemuweka gerezani"
|
||
|
|
||
|
# kuja nje
|
||
|
|
||
|
"kuitoa nje"
|
||
|
|
||
|
# Kuzingatia
|
||
|
|
||
|
Tazama ulivyotafsiri katika sura ya 32:1
|