sw_tn/jer/36/32.md

12 lines
418 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maneno ya Yeremia
"Yeremia alipokuwa akizungumza, Baruku aliandika maneno yote ambayo Bwana aliyazungumza kwa Yeremia"
# Kilichochomwa moto na Yehoyakimu mfalme wa Yuda
"Ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikichoma kwa moto"
# Hatahivyo, maneno mengine yaliyofanana yaliongezwa katika kitabu hiki
"Hatahivyo Yeremia na Baruku waliongeza maneno mengi yaliyofanana na maneno yaliyokuwa kwenye kitabu cha mwanzo."