forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
314 B
Markdown
12 lines
314 B
Markdown
|
# Sauti imesikika katika Rama.
|
||
|
|
||
|
"Nasikia sauti katika Rama."
|
||
|
|
||
|
# Ni Raheli akiomboleza kwa ajili ya watoto wake.
|
||
|
|
||
|
Hapa "Raheli" anawakilisha wanawake wa Israeli ambao wanawalilia watoto wao.
|
||
|
|
||
|
# Hataki kufarijiwa juu yao, kwa maana hawako hai tena.
|
||
|
|
||
|
"Hatakubali mtu yeyote amfariji, kwa maana watoto wake wamekufa."
|