forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
459 B
Markdown
20 lines
459 B
Markdown
|
# Alituma kutoka Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
"Alitangaza kutoka Yerusalemu."
|
||
|
|
||
|
# Yehoyakimu.
|
||
|
|
||
|
Maandishi ya Kiebrania "Yekonia," amabayo ni utofauti wa jina "Yehoyakimu." Matoleo mengi ya kisasa yanasema "Yehoyakimu ili kutoa ufafanuzi kwamba anayetajwa ni mfalme yule yule.
|
||
|
|
||
|
# Mama yake mfalme.
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo anachopewa mama wa mfale.
|
||
|
|
||
|
# Watumishi wakuu.
|
||
|
|
||
|
Hawa ni viongozi au wakuu muhimu sana.
|
||
|
|
||
|
# Elasa mwana wa Shafani na Gemaria mwana wa Hilkia.
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya kiume.
|