forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
470 B
Markdown
16 lines
470 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Yeremia anaendela kusema neno la Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Vyombo vya nyumba ya Yahwe vinarudishwa kutoka Babeli sasa!
|
||
|
|
||
|
Watu kutoka Babeli wanavirudisha vyombo vyote vya dhahabu ambavyo waalivichukua kutoka kwenye hekalu la Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini mji huu uangamizwe?
|
||
|
|
||
|
"Mji wote utaangamizwa."
|
||
|
|
||
|
# Kama ni manabii.
|
||
|
|
||
|
Kama kweli wanachosema ni kweli, basi wangekuwa wanaomba kwamba maneno yangu yasitimie na kwamba vyombo vya hekalu na viongozi wanabaki katika Yerusalemu.
|