forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
335 B
Markdown
12 lines
335 B
Markdown
|
# Taarifa zajumla
|
||
|
|
||
|
Yeremia anaendelea kuandika mataifa yote yaliyo chini ya hukumu ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Bahari
|
||
|
|
||
|
Hii ni kumbukumbu ya Bahari ya Mediterane.
|
||
|
|
||
|
# wale wanyoao nywele zao upande wa pili wa vichwa vya
|
||
|
|
||
|
Hii inawezekana inazungumzia Waarabu ambao waliishi jangwani, watu ambao hukata nywele zao ili waweze kuheshimu mungu wa kipagani.
|