forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
455 B
Markdown
24 lines
455 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Mjumbe hubadilika kutoka Yeremia kwenda kwa Bwana.
|
||
|
|
||
|
# makuhani wote wamekufuru
|
||
|
|
||
|
"makuhani ni wenye dhambi"
|
||
|
|
||
|
# katika nyumba yangu
|
||
|
|
||
|
Hapa hekalu la Bwana linalinganishwa na nyumba, mahali ambako Bwana anasemekana kuishi kati ya watu wake.
|
||
|
|
||
|
# tamko la Bwana
|
||
|
|
||
|
"nini Bwana ametangaza" au "kile Bwana amesema"
|
||
|
|
||
|
# kama mahali pa kupumzika katika giza
|
||
|
|
||
|
"si imara, au hatari"
|
||
|
|
||
|
# katika mwaka wa adhabu yao
|
||
|
|
||
|
"ikiwa wakati wao wa adhabu unakuja"
|