forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
574 B
Markdown
28 lines
574 B
Markdown
|
# mashaka katika njia zao
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "yao" linamaanisha "watu wangu."
|
||
|
|
||
|
# itakuwa ya hofu
|
||
|
|
||
|
"itakuwa kitu ambacho kinatisha watu"
|
||
|
|
||
|
# kupiga kelele
|
||
|
|
||
|
Hii ni sauti inayoonyesha kukataa kwa nguvu.
|
||
|
|
||
|
# atakayepita karibu naye
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "yake" linamaanisha "Nchi yao."
|
||
|
|
||
|
# Nitawaangamiza mbele ya adui zao kama upepo wa mashariki.
|
||
|
|
||
|
Bwana anajilinganisha na upepo kutoka mashariki ambayo hugawa majivu na uchafu.
|
||
|
|
||
|
# Nitawaangamiza
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "yao" linamaanisha "watu wangu."
|
||
|
|
||
|
# Nitawageuzia kisogo, wala sio uso wangu
|
||
|
|
||
|
Hatua hii inaashiria kwamba Mungu atakataa kuwasaidia watu wake.
|