forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
501 B
Markdown
16 lines
501 B
Markdown
|
# siku ya msiba
|
||
|
|
||
|
"Siku" inawakilisha muda wa hukumu ya Mungu kufanyika. AT "wakati wa msiba"
|
||
|
|
||
|
# Waaibike watu wanaoniudhi, lakini nisiaibike mimi
|
||
|
|
||
|
"Kuniitia aibu juu ya wafuasi wangu, lakini usinitie aibu"
|
||
|
|
||
|
# Watafadhaika, lakini usiache nifadhaike
|
||
|
|
||
|
Kifungu hiki kimamaanisha kimsingi kitu kimoja na kilichopita na kinatumika kwa msisitizo. AT "Kuwafanya wawe na hofu sana, lakini usinifanye kuwa hofu"
|
||
|
|
||
|
# kuwaangamiza maradufu
|
||
|
|
||
|
"kuwaangamiza kwa uharibifu kamili" au "kuwaangamiza mara mbili zaidi"
|