forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
518 B
Markdown
20 lines
518 B
Markdown
|
# Mtu anayemtegemea mwanadamu amelaaniwa
|
||
|
|
||
|
Mimi nitamlaani mtu yeyote anayeamini kwa wanadamu
|
||
|
|
||
|
# amfanyaye mwanadamu kuwa nguvu
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mwili" linamaanisha watu. AT "anamtegemea wanadamu tu kwa nguvu"
|
||
|
|
||
|
# kugeuza moyo wake mbali na Bwana
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "moyo" linamaanisha mawazo na hisia. AT "anageuza kujitoa kwake mbali na Bwana"
|
||
|
|
||
|
# kama kichaka kidogo
|
||
|
|
||
|
Mtu anayemtegemea mwanadamu badala ya Bwana atakuwa kama mmea unaojitahidi kuishi katika ardhi isiyo na rutuba.
|
||
|
|
||
|
# nchi isiyozaa
|
||
|
|
||
|
atakuwa bure kama msitu jangwani
|