forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
491 B
Markdown
20 lines
491 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Yeremia anaongea kana kwamba yeye ndiye kabila yote ya Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Ole wangu! kwa sababu ya mifupa yangu iliyovunjia, jeraha zangu zimeumia
|
||
|
|
||
|
"Tuko katika huzuni kubwa kama mtu ambaye mifupa yake imevunjika na kuumia"
|
||
|
|
||
|
# Hema yangu imeharibiwa, na kamba za hema yangu zote zimekatwa.
|
||
|
|
||
|
"adaui ameuharibu mji kabisa"
|
||
|
|
||
|
# Wamewachukua
|
||
|
|
||
|
"adaui wamechukua"
|
||
|
|
||
|
# Hakuna tena mtu wa kuitandaza hema yangu au wa kuziinua pazia za hema yangu
|
||
|
|
||
|
"Hakuna mtu wa kuujenga tena mji wetu"
|