forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
451 B
Markdown
24 lines
451 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
BWANA anaendelea kuonge juu ya watu wa Yuda
|
||
|
|
||
|
# Ni kwa sababu wameziacha
|
||
|
|
||
|
"Nchi imeharibiwa kwa sabasbu watu wa Yuda hawakutii"
|
||
|
|
||
|
# hawaisikilizi sauti yangu
|
||
|
|
||
|
""hawatilii maanani kwa vitu ambavyo ninawaambia."
|
||
|
|
||
|
# kwa kuifuata
|
||
|
|
||
|
"au kuishi kwa namna ambayo nawataka waishi"
|
||
|
|
||
|
# wameishi kwa ushupavu wa mioyo yao
|
||
|
|
||
|
"wamekuwa wasumbufu na wameishi kwa jinsi wanavyotaka kuishi"
|
||
|
|
||
|
# na wamewafuata Mabaali
|
||
|
|
||
|
"na wameabudu miungu ya uongo"
|