forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
549 B
Markdown
24 lines
549 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Yeremia anaendelea kuongea juu ya watu wa Yuda
|
||
|
|
||
|
# Mavuno yamepita
|
||
|
|
||
|
"wakati wa mavuno umeisha
|
||
|
|
||
|
# Lakini sisi hatujaokoka
|
||
|
|
||
|
"Lakini BWANA hajatuokoa,"
|
||
|
|
||
|
# Nimeumia kwa sababu ya binti wa watu wangu
|
||
|
|
||
|
"Ninajisikia vibaya kwa sabau watu wa Yuda wanapitia mambo mabaya sana."
|
||
|
|
||
|
# Je, kule Gileadi hakuna dawa? Je, huko hayuko mponyaji?
|
||
|
|
||
|
"Kuna dawa Gileadi! Kuna daktari Gileadi!"
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini uponyaji wa binti wa watu wangu hauatokei?
|
||
|
|
||
|
"Lakini watu wangu wana vidonda vya kirohokiasi kwamba hiyo dawa na hao waganga hawaezi kuviponya."
|