forked from WA-Catalog/sw_tn
48 lines
824 B
Markdown
48 lines
824 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
BWANA anendeleza ujumbe wake juu ya adhabu inayokuja kwa watu wa Yuda
|
||
|
|
||
|
# Mkoromo wa farasi wake umesikika kutoka Dani
|
||
|
|
||
|
"Watu wa Dani wanaiasikia sauti ya jeshi la adui likija kuivamia Yuda,"
|
||
|
|
||
|
# farasi
|
||
|
|
||
|
farasi dume
|
||
|
|
||
|
# Dunia nzima inatikisika
|
||
|
|
||
|
"watu wa nchi wanatikisika kwa hofu"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya sauti ya kukaribia kwa farasi wake wenye nguvu
|
||
|
|
||
|
"watakaposikia sauti ya farasi mwenye nguvu wa adaui"
|
||
|
|
||
|
# sauti ya farasi
|
||
|
|
||
|
sauti ambayo farasi huitoa
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa watakuja
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi "wa" kinmaanisha jeshi linalovamia
|
||
|
|
||
|
# kuiangamiza nchi
|
||
|
|
||
|
"na kuiharibu nchi."
|
||
|
|
||
|
# Ninawatuma nyoka kati yenu
|
||
|
|
||
|
"Ninawatuma askari wa adui ili kuwapigeni ninyi."
|
||
|
|
||
|
# fira ambao hawawezi kuzuiliwa kwa uganga
|
||
|
|
||
|
Fira ambao huwezi kuwafukuza kwa uchawi
|
||
|
|
||
|
# watawauma
|
||
|
|
||
|
"watawashambulia" au "watawaangamiza"
|
||
|
|
||
|
# asema BWANA
|
||
|
|
||
|
Tazama1:7
|