forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
803 B
Markdown
36 lines
803 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Haya ni maneno ya BWANA kwa watu wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini mnasema, "sisi tuna hekima! na sheria ya BWANA tunayo?"
|
||
|
|
||
|
"Msisema kuwa mna hekima, na sheria ya BWANA mnayo."
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini mnasema
|
||
|
|
||
|
kiwakilishi cha "mna" kinawakilisha watu wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Kalamu yenye uongo ya mwandishi imefanya uongo
|
||
|
|
||
|
"Mambo ya uongo ambaYo walimu wa sheria wamekuwa wakiandika yamewapeni mawazo ya uongo juu ya sheria za BWANA "
|
||
|
|
||
|
# Wenye hekima wataabishwa
|
||
|
|
||
|
"Hawa watu wanofikiri kuwa wanahekima watajisikia kuaibika"
|
||
|
|
||
|
# Wameyeyuka na kunaswa
|
||
|
|
||
|
"Aduii watawateka na kuwachukua"
|
||
|
|
||
|
# hekima yao ni kwa ajili ya matumizi gani?
|
||
|
|
||
|
"kwa hiyo hicho kinachoitwa hekima hakina kazi yeyote njema kwao"
|
||
|
|
||
|
# kwa wale watakaowamiliki
|
||
|
|
||
|
"watu watakaoitawala nchi yao"
|
||
|
|
||
|
# kwakuwa kuanzia kijana ... wote wanasema uongo
|
||
|
|
||
|
Tazama 6:13
|