forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
966 B
Markdown
36 lines
966 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
BWANA anaendelea kuongea na watu wa Yuda kupitia kwa nabii Yeremia.
|
||
|
|
||
|
# Tazama!
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" linaonyesha kuwa maswali yafuatayo yana umuhimu
|
||
|
|
||
|
# Mnatumainia maneno ya uongo ambayo hayawasaidii
|
||
|
|
||
|
"Mnadhdani kuwa nitaiokoa Yerusalemu kwa kwa sababu nitlilinda hekalu langu. Lakini huo ni uongo!"
|
||
|
|
||
|
# Je, mnau, mnaiba, mnafanya uzinzi?
|
||
|
|
||
|
"Mnaua, mnaiba, mnafanya uzinzi"
|
||
|
|
||
|
# Mnaapa kwa uongona kufukiza uvumba kwa Baali na kwenda kwa miungu mingine ambayo hamkuijua?
|
||
|
|
||
|
"Mnadanganya hata katika viapo vyenu na kumwabudu Baali na miungu mingine."
|
||
|
|
||
|
# Je, mnakuja na kusimama ... kufanya machukizo yote haya?
|
||
|
|
||
|
"Kisha mnakuja kwenye nyumba yangu na kusema, ''BWANA atatuokoa" ili kwamba ninyi muendelee kufanya dhambi."
|
||
|
|
||
|
# Je, hii ndiyo nyumba inyobeba jina langu, pango la wanyang'nyi mbele ya macho yenu?
|
||
|
|
||
|
"Nyumba hii ni pango la wanyang'anyi mbele ya macho yenu!"
|
||
|
|
||
|
# wanyang'anyi
|
||
|
|
||
|
"wezi" au "watu wanaoiba vitu toka kwa watu"
|
||
|
|
||
|
# BWANA asema
|
||
|
|
||
|
Tazama 1:7
|