forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
608 B
Markdown
32 lines
608 B
Markdown
|
# Watachukua
|
||
|
|
||
|
"Watashikilia" kiwakilshi cha "wa" kinamanisha wale wanajeshi wale watakaotoka kasazini.
|
||
|
|
||
|
# Sauti zao ni kama muungurumo wa bahari
|
||
|
|
||
|
"sauti ile wanayoifanya ni ya muunagurumo mkali kama ya bahari
|
||
|
|
||
|
# katika mfumo wa wanaume wa vita
|
||
|
|
||
|
"lile jeshi limejipanga vizuri ili kwamba wale wanaume waingie vitani"
|
||
|
|
||
|
# enyi binti wa Sayuni
|
||
|
|
||
|
Tazama 4:30
|
||
|
|
||
|
# Tumesikia
|
||
|
|
||
|
Kiwakilishi "tu" yawezekana kinamwakilisha Yeremia akiongea na watu wote wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# inalegea kwa dhiki
|
||
|
|
||
|
"imelegea kwa sababu tuna mashaka"
|
||
|
|
||
|
# maumivu yametukmata
|
||
|
|
||
|
"Tuko kwenye maumivu"
|
||
|
|
||
|
# kama utungu wa mwanamke
|
||
|
|
||
|
"kama mwana mke anayezaa"
|