forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
511 B
Markdown
20 lines
511 B
Markdown
|
# unavaa mavazi mekundu ...mapambo ... macho ... ya maumivu
|
||
|
|
||
|
"unavaa kama kahaba"
|
||
|
|
||
|
# mapambo
|
||
|
|
||
|
"kujipamba" au "kuongeza vitu vinavyomfanya mtu avutie au aonekane wa gaharam zaidi"
|
||
|
|
||
|
# wanaume waliokutamani sasa wanakukataa
|
||
|
|
||
|
Hii inasisitiza kuwa mataifa mengine ambayo Israeli alwataegemea kwa utajiri na biashara sasa watamkataa watakapaoiona hukumu ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Utungu kama wa mwanamke
|
||
|
|
||
|
"huzuni na utungu kama wa mwanamke anoupata wakati wa kujifungua"
|
||
|
|
||
|
# Atwetaye
|
||
|
|
||
|
"uhai wangu umechanika kwa sababu ya huzuni"
|