forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
498 B
Markdown
20 lines
498 B
Markdown
|
# Moyo wagu! moyo wangu! Niko katika maumivu ya moyo. Moyo wangu umefadhaika ndani yangu.
|
||
|
|
||
|
"Niko katika maumivu makali, Nimezidiwa"
|
||
|
|
||
|
# misukosuko
|
||
|
|
||
|
kuchanganyikiwa
|
||
|
|
||
|
# Anguko baada ya anguko limetangazwa
|
||
|
|
||
|
"watu wanaambizana kutoka mji mmojahadi mwingine kuwa wameharibiwa"
|
||
|
|
||
|
# nchi yote imeharibiwa mara
|
||
|
|
||
|
"adaui wameiharibu nchi"
|
||
|
|
||
|
# masikani yangu na hema yangu
|
||
|
|
||
|
neno "maskani" na "hema" yanamaanisha kitu kimoja. Maana yake yaweza kuwa "hema yangu na mapazia yaliyo ndani yake" au "mahali niishipo"
|