forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
532 B
Markdown
24 lines
532 B
Markdown
|
# Tazama anavamia kama wingu, na magari yake ni kama dhoruba
|
||
|
|
||
|
"jeshi la adui ni haribifu kama upepo mkali"
|
||
|
|
||
|
# Ole wetu kwa kuwa tutaharibiwa
|
||
|
|
||
|
"Watu wanasema, 'kwa hakika tutaangamizwa.'"
|
||
|
|
||
|
# Itakaseni mioyo yenu kutoka uovu wenu
|
||
|
|
||
|
BWANA anawaambia watu waishio Yerusalemu, '"Bora mbadilishe tabia zenu."
|
||
|
|
||
|
# kuna sauti iletayo
|
||
|
|
||
|
"wajumbe wanahubiri"
|
||
|
|
||
|
# na janga lijalo linasikikka
|
||
|
|
||
|
"watu walilisikia hilo janga"
|
||
|
|
||
|
# kutokea Dani ... milima ya Efraimu
|
||
|
|
||
|
watu walitambua kuwa wale watu waliokuwa wakitangaza onyo hili walikuwa wanakaribia
|