forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
793 B
Markdown
36 lines
793 B
Markdown
|
# Taarifa za jumla:
|
||
|
|
||
|
wimbo wa Debora na Baraka kwa kutumia ushairi unaendelea.
|
||
|
|
||
|
# Milima inatetemeka
|
||
|
|
||
|
Imerejea tetemeko la ardhi ili kuonesha kuwa milima inatetemeka kwa sababu inamuogopa Bwana.
|
||
|
|
||
|
# mbele ya uso wa Bwana
|
||
|
|
||
|
"uso" ina maanisha uwepo wa Bwana. "kwenye uwepo wa Bwana"
|
||
|
|
||
|
# hata Mlima Sinai ukatetemeka
|
||
|
|
||
|
Musa na Waisraeli walipokuwa mlima Sinai ulitetemeka. "Hapo zamani hata mlima Sinai ulitetemeka"
|
||
|
|
||
|
# Katika siku za
|
||
|
|
||
|
Hapa "siku" inawakilisha muda mrefu uliopita.
|
||
|
|
||
|
# Shamgari ... Anathi ... Jael
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya watu.
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Anathi
|
||
|
|
||
|
Baba yake na Shamgari anatajwa ili kusaidia kumtambua Shamgari.
|
||
|
|
||
|
# barabara kuu ziliachwa
|
||
|
|
||
|
"Watu waliacha kutumia barabara kuu kwa sababu waliwaogopa maadaui wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# njia za upepo
|
||
|
|
||
|
Hizi ni njia ndogo ambazo watu wachache walizitumia.
|