forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
957 B
Markdown
28 lines
957 B
Markdown
|
# Kila zawadi iliyo nzuri na kila zawadi iliyokamilika
|
||
|
|
||
|
Sentensi hizi mbili zina maana moja. Yakobo alizitumia kusisitiza kuwa kila kizuri alichonacho mtu kinatoka kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Baba wa nuru.
|
||
|
|
||
|
Mungu, muumbaji wa nuru zote zilizopo juu angani (jua, mwezi na nyota) inajulikana kuwa ni Baba yao.
|
||
|
|
||
|
# Kamwe habadiliki kama kivuli kibadilikavyo
|
||
|
|
||
|
Hii inamuelezea Mungu kama mwanga usiobadilika tofauti na jua, mwezi, sayari na nyota ambazo zinapita katikati ya anga na zinabadilisha nuru yake. "Mungu habadiliki kama jua, mwezi na nyota ambazo zinatokea na kupotea"
|
||
|
|
||
|
# Kutupa sisi
|
||
|
|
||
|
Neno "sisi" linamaanisha Yakobo na hadhira yake.
|
||
|
|
||
|
# Katupa uzima
|
||
|
|
||
|
Mungu aliyetupa uzima wa milele anazungumziwa kana kwamba ametupa uzima.
|
||
|
|
||
|
# Neno la kweli
|
||
|
|
||
|
Ujumbe wa kweli wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Kama uzao wa kwanza
|
||
|
|
||
|
Yakobo anatumia utamaduni wa Kiebrania wa zao la kwanza kama njia ya kuelezea thamani ya Mwamini wa Kikristo kwa Mungu. anaelezea kuwa kutakuwa na waamini wengi sana baadae.
|