forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
529 B
Markdown
24 lines
529 B
Markdown
|
# Tuache uvumilivu ukamilishe kazi yake.
|
||
|
|
||
|
Hapa uvumilivu imezungumzwa kama vile mtu yupo kazini. "Jifunze kuvumilia magumu yote"
|
||
|
|
||
|
# Kukua kabisa
|
||
|
|
||
|
Kuwa na uwezo wa kumwamini Kristo na kumtii yeye katika hali zote.
|
||
|
|
||
|
# Usipungukiwe chochote
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuwa sentensi chanya "kuwa na uwezo kumtii Mungu kwa kila jambo"
|
||
|
|
||
|
# Muombe Mungu, yeye atoaye
|
||
|
|
||
|
"Muombe Mungu. Ni yeye atoaye"
|
||
|
|
||
|
# Ukarimu na "bila kukemea
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuzungumziwa kwa mtazamo chanya "ukarimu au furaha"
|
||
|
|
||
|
# Atawapa
|
||
|
|
||
|
"Mungu atawapa" au "Mungu atajibu maombi yenu"
|