forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
429 B
Markdown
12 lines
429 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Isaya anaendelea kumfafanu mtumishi wa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# amechukua ugonjwa wetu na kubeba huzuni zetu
|
||
|
|
||
|
"Kuchukua" au kubeba usahaulifu kama ugonjwa na huzuni inawakilisha kuuchukua. "amechukua ugonjwa wetu na huzuni juu yake mwenyewe"
|
||
|
|
||
|
# ingawa tulidhani ya kuwa aliadhibiwa na Mungu, alipigwa na Mungu, na kuteswa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ingawa tulidhani Mungu alikuwa akimuadhibu na kumtesa"
|