forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
632 B
Markdown
32 lines
632 B
Markdown
|
# Sikia haya
|
||
|
|
||
|
"Sikiliza ujumbe wangu". Yahwe anazungumza.
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya Yakobo
|
||
|
|
||
|
Hapa "nyumba" ina maana ya vizazi vya Yakobo. "vizazi vya Yakobo"
|
||
|
|
||
|
# ambao wameitwa kwa jina la Israeli
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "ambao kila mtu huwaita watu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# wametokana na mbegu ya Yuda
|
||
|
|
||
|
Msemo huu unasisitiza ya kwamba ni vizazi vya moja kwa moja, vya kimwili vya Yuda. "ni vizazi vya Yuda"
|
||
|
|
||
|
# kumsihi Mungu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
"kumwita Mungu wa Israeli"
|
||
|
|
||
|
# wanajiita wenyewe
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya wtu wa Israeli. "mnajiita wenyewe"
|
||
|
|
||
|
# mji mtakatifu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya Yerusalemu.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe wa majeshi
|
||
|
|
||
|
Yahwe wa majeshi ya Israeli
|