forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1020 B
Markdown
28 lines
1020 B
Markdown
|
# Kauli Kiunganishi
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na Babeli kuhusu anguko lake kana kwamba alikuwa malkia ambaye ameaibishwa.
|
||
|
|
||
|
# Nilikasirishwa
|
||
|
|
||
|
Hapa "nilikasirishwa" ina maana ya Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# nilitia unajisi urithi wangu
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumzia watu wa Israeli kuwa milki yake maalumu kana kwamba walikuwa urithi wake. "Niliwanajisi watu wangu, ambao walikuwa milki yangu maalumu"
|
||
|
|
||
|
# kuwakabidhi mikononi mwako
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "mkononi" inawakilisha nguvu na utawala wa Babeli. "Ninawaweka chini ya nguvu yako"
|
||
|
|
||
|
# umeweka nira nzito sana juu ya watu wazee
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumzia Wababeli kuwakandamiza watu wazee kana kwamba wamewatendea watu wazee kama ng'ombe na kuweka nira nzito juu ya shingo zao.
|
||
|
|
||
|
# nitatawala milele kama malkia wa enzi
|
||
|
|
||
|
Babeli inazungumzia kutawala kwa kudumu juu ya mataifa mengi kana kwamba ilikuwa malkia ambaye atatwala milele.
|
||
|
|
||
|
# Hukuviweka vitu hivi moyoni
|
||
|
|
||
|
Yahwe anazungumzia juu ya kufikiria kwa makini kuhusu kitu kana kwamba ilikuwa ni kuweka kitu hicho ndani ya moyo wa mtu. "Haukufikiria vitu hivi"
|