forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
391 B
Markdown
20 lines
391 B
Markdown
|
# Sasa
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha sehemu mpya ya barua. Hapa mwandishi anatoa maoni yake ya mwisho kwa wale anaowaandikia.
|
||
|
|
||
|
# ndugu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha waumini wote anaowandikia wanume au wanawake.
|
||
|
|
||
|
# huchukuliana na neno la kutia moyo
|
||
|
|
||
|
"kwa uvumilivu fikirini juu ya nilichokiandika kuwatieni moyo.
|
||
|
|
||
|
# neno la faraja
|
||
|
|
||
|
"Neno" hapa linasimama kwa niaba ya ujumbe.
|
||
|
|
||
|
# amewekwa huru
|
||
|
|
||
|
"hayuko tena gerezani"
|