forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
449 B
Markdown
16 lines
449 B
Markdown
|
# alivumilia kana kwamba alikuwa alimwona yeye asiye onekana
|
||
|
|
||
|
Musa anaongelewa kana kwamba alimwona Mungu, ambaye haonekani.
|
||
|
|
||
|
# yule ambaye haonekani
|
||
|
|
||
|
"yeye ambaye hakuna mtu anaweza kumwona"
|
||
|
|
||
|
# Kunyunyiza kwa damu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha amri ya Mungu kwa Waisraeli kuchinja mwana kondoo na kusambaza juu ya kila muimo wa kila nyumba mahali ambapo waliishi Hii ingezuia muharibifu kutowaaribu wazaliwa wao wa kwanza.
|
||
|
|
||
|
# usiguse
|
||
|
|
||
|
"usidhuru" au " usiue"
|