forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
766 B
Markdown
20 lines
766 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
katika 10:38 mwandishi ananukuu kutoka kwa nabii Habakuki, ambayo moja kwa moja inafuata nukuu kutoka kwa nabii Isaya 10:37.
|
||
|
|
||
|
# mwenye haki wangu...kama akigeuka... pamoja naye
|
||
|
|
||
|
Haya maneno yanamaanisha kwa watu wa Mungu wowote.AT: "watu wangu waaminifu ...kama mmoja wao akigeuka...kwa mtu huyo" au " watu wangu waaminifu... kama wakigeuka ... nao"
|
||
|
|
||
|
# kama akigeuka
|
||
|
|
||
|
kukosa ujasiri na imani kunaongelewa kana kwamba ilikuwa nikugeuka kutoka kufuata njia.
|
||
|
|
||
|
# wanaogeuka kuelekea uangamivu
|
||
|
|
||
|
kukosa ujasiri na imani kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kugeuka kutoka katika kufuata njia.
|
||
|
|
||
|
# kwa kuzilinda imani roho zetu
|
||
|
|
||
|
kuishi milele na Mungu kunaongelewa kana kwamba ilikuwa ni kutunza roho ya mtu, Na roho hapa inamaanisha mtu mzima mzima.
|