forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
464 B
Markdown
16 lines
464 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Hii ni nukuu kutoka kwa nabii Yeremia katika Agano la Kale.
|
||
|
|
||
|
# pamoja nao
|
||
|
|
||
|
"amoja na watu wangu"
|
||
|
|
||
|
# baada ya siku hizo
|
||
|
|
||
|
"wakati wa agano la kwanza na watu wangu ulipokwisha"
|
||
|
|
||
|
# Nitaziweka sheria zangu ndani ya mioyo yao, na nitaziandika katika akili zao
|
||
|
|
||
|
Mioyo ya watu na akili vinaongelewa kana kwamba sheria ya Mungu ingeweza kuwekwa au kuandikwa juu yake. AT: "Nitawasababisha kuzielewa shria zangu na nitawasababisha kuzitii sheria zangu"
|