forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
582 B
Markdown
24 lines
582 B
Markdown
|
# kipindi chake katika mwili
|
||
|
|
||
|
Neno siku/ kipindi zinasimama badala ya kipindi cha muda. Na "mwili" unasimama badala ya maisha ya Yesu duniani, AT: "wakati aliposhi duniani"
|
||
|
|
||
|
# maombi na kuombea/
|
||
|
|
||
|
Kimsingi maneno haya yanamaanisha kitu kimoja
|
||
|
|
||
|
# kumwokoa kutoka kwenye kifo
|
||
|
|
||
|
Kifo kinaongelewa kana kwamba ilikuwa ni sehemu kKristo angezuiliwa kutoingia, au kana kwamba ni sehemu ambayo angeokolewa.
|
||
|
|
||
|
# alisikiwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katika mfumo tendaji. AT: "Mungu alimsikia"
|
||
|
|
||
|
# mwana
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# mambo yaliyomtesa
|
||
|
|
||
|
mateso kana kwamba ni vitu.
|