forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# aliyeziingia mbingu
|
||
|
|
||
|
"aliyeingia mahali alipo Mungu"
|
||
|
|
||
|
# Mwana wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu.
|
||
|
|
||
|
# tushikilie sana imani zetu
|
||
|
|
||
|
imani na tumaini vinaongelewa kana kwamba ni vitu ambavyo mtu angeweza kuvikumbatia.
|
||
|
|
||
|
# hatuna kuhani mkuu ambaye hawezi kutuhurumia... Badala, tunaye
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yakukanusha yanalenga kuonyesha kwamba Yesu ni mwenye huruma kwa watu . AT: " tunaye kuhani mkuu anayeweza kutuhurumia...Kweli tunaye"
|
||
|
|
||
|
# kiti cha enzi cha neema
|
||
|
|
||
|
"kiti cha enzi cha Mungu, pale palipo na neema" au "pale Mungu, ambaye ni neema, ameketi katika kiti chake cha enzi"
|
||
|
|
||
|
# yeye ambaye kwa njia zote amekuwa akijaribiwa kama sisi
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kusemwa katikamfumo tendaji. AT: "yeye ambaye amevumilia majaribu katika kila hali tunayoipitia" au "ambaye movu amekuwa akimjaribu katika kila njia anavyotujaribu"
|
||
|
|
||
|
# hana dhambi
|
||
|
|
||
|
"hakutenda dhambi"
|
||
|
|
||
|
# kiti cha enzi cha neema
|
||
|
|
||
|
"kwemye kiti cha enzi cha Mungu palipo na neema." "kiti cha enzi" hapa kina maanisha utawala wa Mungu kama mfalme.
|
||
|
|
||
|
# ili kwamba tupokee rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa hitaji.
|
||
|
|
||
|
"rehema" na "neema" hapa vinaongelewa kana kwamba ni vitu ambavyo vinaweza kupewa au kupatikana.
|