forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
894 B
Markdown
16 lines
894 B
Markdown
|
# Sentensi Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Mwanadishi anawaonya waumini wasiache kumtii Mungu, bali waiingie katika pumziko ambalo Mungu anawapa. Anawakumbusha kwamba neno la Mungu litawashuhudia na kwamba wanaweza katika maombi kwa ujasiri na kwamba Mungu atawasaidia
|
||
|
|
||
|
# kama Yoshua angekuwa amewapa pumziko
|
||
|
|
||
|
Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ambayo watu wangeweza kwenda. AT: "kama Yoshua angewaleta Wasraeli kwenye sehemu ambayo Mungu angewapa pumziko"
|
||
|
|
||
|
# tuwe na shauku
|
||
|
|
||
|
Amani na ulinzi uliotolewa na Mungu vinaongelwa kana kwamba zilikuwa pumziko la kuwapa, na kana kwamba vilikuwa ni sehemu ya kuingia. AT: "tunapaswa kufanya kila kitu ili tuingie katika mpumziko mahali alipo"
|
||
|
|
||
|
# wataanguka katika aina ya kutotii ambao walifanya
|
||
|
|
||
|
kutokutii kunaongelewa kana kwamba ni mtu mzima ambaye angeweza kuanguka katika ajali.
|