forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
889 B
Markdown
36 lines
889 B
Markdown
|
# Haya ni makabila kumi na mbili ya Israeli
|
||
|
|
||
|
"Haya" ina maana ya wana wa Yakobo waliotajwa katika 49:1-27. Kila mwana alikuwa kiongozi wa kabila lake mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# alipowabariki
|
||
|
|
||
|
Hapa neno "alipowabariki" lina maana ya kuongelea baraka rasmi.
|
||
|
|
||
|
# kila mmoja kwa baraka iliyomstahili
|
||
|
|
||
|
"Akawapa kila mtoto baraka inayomstahili"
|
||
|
|
||
|
# akawaelekeza
|
||
|
|
||
|
"akawaamuru"
|
||
|
|
||
|
# Ninakaribia kwenda kwa watu wangu
|
||
|
|
||
|
Hii ni njia ya upole ya kusema ya kwamba amekaribia kufa. "Nimekaribia kufa"
|
||
|
|
||
|
# kwenda kwa watu wangu
|
||
|
|
||
|
Yakobo ana maanisha pale ambapo nafsi yake utakwenda atakapokufa. Anategemea kuwaunga Abrahamu na Isaka katika maisha ya baadae.
|
||
|
|
||
|
# Efroni Mhiti
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamume. "Mhiti" ina maana ya "uzao wa Hethi".
|
||
|
|
||
|
# Makpela
|
||
|
|
||
|
Makpela lilikuwa jina la eneo au mahali.
|
||
|
|
||
|
# Mamre
|
||
|
|
||
|
Hili lilikuwa jina lingine la mji wa Hebroni. Inawezekana lilitajwa baada ya Mamre, rafiki wa Abrahamu aliyeishi kule.
|