forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
511 B
Markdown
20 lines
511 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yakobo anaendelea kumbariki Yusufu na uzao wake.
|
||
|
|
||
|
# milima ya zamani
|
||
|
|
||
|
Maana ya lugha asili haipo wazi. Baadhi ya tafsiri za Biblia zina "mababu zangu" badala ya "milima ya zamani"
|
||
|
|
||
|
# Na viwe katika kichwa cha Yusufu
|
||
|
|
||
|
Hapa "viwe" ina maana ya baraka za baba yake.
|
||
|
|
||
|
# juu ya taji ya kifalme kichwani pa ndugu zake
|
||
|
|
||
|
Yakobo anatamani kwa baraka hizi kupitishwa hata kwa wale wazawa muhimu. "juu ya kichwa cha mzawa muhimu wa Yusufu"
|
||
|
|
||
|
# mwana wa mfalme kwa ndugu zake
|
||
|
|
||
|
"mtu muhimu wa ndugu zake"
|