forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
871 B
Markdown
36 lines
871 B
Markdown
|
# Kabla miaka ya njaa kuingia
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia kuhusu miaka saba kana kwamba ni kitu kinachosafiri na kuja kutulia mahali. "kabla ya miaka saba ya njaa kuanza"
|
||
|
|
||
|
# Asenathi
|
||
|
|
||
|
"Asenathi" ni jina la mwanamke ambaye Faro alimpatia Yusufu kama mke wake.
|
||
|
|
||
|
# binti wa Potifera
|
||
|
|
||
|
"Potifera" ni baba wa Asenathi.
|
||
|
|
||
|
# kuhani wa Oni
|
||
|
|
||
|
Oni ni mji, ambao pia unajulikana kama Heliopolisi, ambao ulikuwa "Mji wa Jua" na makao ya kumuabudu mungu wa jua Ra.
|
||
|
|
||
|
# Manase
|
||
|
|
||
|
"Jina la 'Manase' lina maana ya "kusababisha kusahau""
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya baba yake
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya baba wa Yusufu Yakobo na familia yake.
|
||
|
|
||
|
# Efraimu
|
||
|
|
||
|
"Jina la 'Efraimu' lina maana ya 'kuwa na uzao' au 'kupata watoto'"
|
||
|
|
||
|
# amenipa uzao
|
||
|
|
||
|
Hapa "uzao" ina maana ya kufanikiwa au kupata watoto.
|
||
|
|
||
|
# katika nchi ya mateso yangu
|
||
|
|
||
|
Nomino inayojitegemea "mateso" inaweza kuwekwa kama "nimeteseka". "katika nchi hii ambayo nimeteseka".
|