forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
522 B
Markdown
20 lines
522 B
Markdown
|
# Tazama, ng'ombe wengine saba
|
||
|
|
||
|
Farao anatumia neno "tazama" kumfanya Yusufu kuvuta nadhari kwa habari ya kushangaza.
|
||
|
|
||
|
# wabaya, na wembamba
|
||
|
|
||
|
"dhaifu, na wembamba"
|
||
|
|
||
|
# wabaya kama hao
|
||
|
|
||
|
Nomino inayojitegemea ya "kutotamanika" inaweza kutafsiriwa kwa kivumishi. "ng'ombe wabaya sana" au "ng'ombe wasiofaa kabisa"
|
||
|
|
||
|
# ng'ombe wanene
|
||
|
|
||
|
"ng'ombe waliolishwa vizuri"
|
||
|
|
||
|
# haikujulikana kama walikuwa wamewala
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "hakuna aliyeweza kutambua ya kwamba ng'ombe wembamba waliwameza ng'ombe wanene"
|