forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.0 KiB
Markdown
44 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Efrathi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine la mji wa Bethelehemu.
|
||
|
|
||
|
# akashikwa na uchungu
|
||
|
|
||
|
"Alikuwa na wakati mgumu wakati alipokuwa akimzaa mtoto"
|
||
|
|
||
|
# Alipokuwa katika utungu mzito zaidi
|
||
|
|
||
|
"Uchungu ulipokuwa katika hatua mbaya zaidi"
|
||
|
|
||
|
# mkunga
|
||
|
|
||
|
mtu anayemsaidia mwanamke anapojifungua mtoto
|
||
|
|
||
|
# Hata alipokaribia kufa, kwa pumzi yake ya mwisho
|
||
|
|
||
|
"pumzi yake ya mwisho" ni pumzi ya mwisho ya mtu kabla mtu hajafa. "Hata kabla hajafa, alipovuta pumzi yake ya mwisho"
|
||
|
|
||
|
# Benoni
|
||
|
|
||
|
"Jina la Benoni lina maana ya "mtoto wa majonzi yangu""
|
||
|
|
||
|
# Benyamini
|
||
|
|
||
|
Watafsiri wanaweza kuweka maandishi mafupi yasemayo "Jina la Benyamini lina maana ya "mtoto wa mkono wa kuume". Msemo wa "mkono wa kulia" unalenga sehemu yenye upendeleo maalumu.
|
||
|
|
||
|
# na kuzikwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "na wakamzika"
|
||
|
|
||
|
# katika njia
|
||
|
|
||
|
"pembeni mwa barabara"
|
||
|
|
||
|
# ndiyo alama ya kaburi la Raheli hata leo
|
||
|
|
||
|
"inaweka alama juu ya kaburi la Raheli mpaka siku hii"
|
||
|
|
||
|
# hata leo
|
||
|
|
||
|
"mpaka wakati huu wa leo." Hii ina maana hadi wakati ambapo mwandishi alikuwa akiandika haya.
|