forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
643 B
Markdown
28 lines
643 B
Markdown
|
# maiti
|
||
|
|
||
|
"maiti ya Hamori, Shekemu na wanamume wao"
|
||
|
|
||
|
# pora mji
|
||
|
|
||
|
"waliiba kila kitu chenye thamani katika mji ule"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu watu wale walikuwa wamemnajisi dada yao
|
||
|
|
||
|
Shekemu pekee alimnajisi Dina, lakini wana wa Yakobo walichukulia familia yote ya Shekemu na kila mtu katika mji kuhusika na tendo hili.
|
||
|
|
||
|
# walikuwa wamemnajisi
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya kwamba Shekemu alimvunjia heshima na kumuabisha sana Dina kwa kumlazimisha kulala naye.
|
||
|
|
||
|
# Wakachukua makundi yao
|
||
|
|
||
|
"wana wa Yakobo wakachukua mifugo ya watu wale"
|
||
|
|
||
|
# utajiri wao wote
|
||
|
|
||
|
"mali zao zote na fedha"
|
||
|
|
||
|
# Watoto na wake zao wote, wakawachukua
|
||
|
|
||
|
"Waliwakamata watoto wao na wake zao wote"
|